Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA NNE
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 4
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa katika hadithi fupi

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
mapambazuko ya machweo  na hadithi nyingine
2 5
Kusoma
Utandawazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kukuza ustadi wa kuso,a kwa ufasaha
Kujadili msamiati na kuutumia katika sentensi

Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali

Ramani ya ulimwengu
Michoro na picha
 KLB BK4
UK 117-119
Tuki: Kamusi sanifu
2 6
Sarufi
Mwingiliano wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuyatambua maneno/istilahi ziundazo sentensi na kuzitumia ipasavyo kwa ufasaha

Kuitunga sentensi
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Chati na michoro

KLB BK4 UK 76-77
3 1
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa na kushiriki katika kutoa mchango/hoja za kujibu swali lolote katika nyanja yoyote ya fasihi
Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Kushiriki kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 2
Ushairi
Bahari/aina za ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kudfurusu kwa kukumbuka na kutaja ainana sifa za bahari hizi za ushairi
Kuchambua ushairi ipasavyo na kutambulisha bahari yake

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Mashairi

E. Kezilahabi
Kunga za Ushairi
Malenga wa Ziwa kuu
3 3
Isimu Jamii
Changamoto zinazokabili Kiswahili nchini na mikakati ya kuimarisha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kubainisha mikakati inayokikabili Kiswahili kwa sasa nchini Kenya
Kujadiliana na pia kubainisha mikakati ya kuzitatua

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 52-55
3 4
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora (kudurusu)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutamka irabu na konsonanti vizuri ipasavyo na kuweza kuzitambulisha
Kutamka
Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
 KLB BK1 UK 16
Oxford BK1 UK 1-3
3 5
Sarufi
Isimu Jamii
Kuakifisha (kudurusu)
Sajili katika muktadha isiyo rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kubainisha alama za kuakifisha na kuweza kuzitumia ipasavyo katika maandishi

Kusikiliza
Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
 KLB BK1 UK 22-23
3 6
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 1
Kusoma
Kusoma kwa Mapana
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma kwa ufasaha na kueleza nafasi ya Kiswahili katika utandawazi
Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Ramani ya dunia
Makala yanayohusu utandawazi
KLB BK 2
UK 121-123
Makala magazetini
Tuki: Kamusi sanifu
4 2
Kuandika
Utungaji wa kuiamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutambua sehemu muhimu za hotuba na kuweza kutunga insha kwa kuzizingatia

Kuhotubia
Kujadiliana
Kufanya zoezi

Nakala za hotuba
Vinasa sauti

KLB BK4 UK
123-124
Mwongozo wa mwalimu
4 3
Sarufi
Mwingiliano wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutambua istilahi ziundazo sentensi na kutambua nafasi zake katika sentensi pia kuzitumia kwa ufasaha

Kutunga sentensi
Kuuliza na kujibu maswali

Chati na michoro

KLB BK4 UK 76-77
Chem BK4 UK 76-77
4 4
Kusikiliza na kuzungummza
Miriga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuzingatia matamshi bora ya lugha, kutaja miriga, umuhimu wake na mafunzo katika jamii

Kusikiliza
Kuuliza maswali na kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro

I. Ikarabati
KLB BK4 UK 80
4 5
Isimu Jamii
Fasihi simulizi
Mazungumzo ya kawaida nay a biashara
Utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa sifa, lugha na matumizi ya sajili ya mazungumzo ya kawaida nay a biashara

Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Kinasa sauti

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK
I. Ikarabati UK 77-82
4 6
Isimu Jamii
Kusoma kwa mapana
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa na kueleza sifa na sajili ya lugha ya madukani nay a sokoni
Kubainisha tofauti ya sajili hizo

Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK
I. Ikarabati UK 82-86

5 1
Fasihi Simulizi
Mighani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa, kueleza na kutaja mighani mbalimbali na mafunzo yake katika jamii

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4 UK 125
5 2
Kusoma
Sarufi
Vinyago vya Bosi
Miundo ya sentensi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutamka maneno ipasavyo
Kuelewa msamiati
Kushiriki katika mjadala na kutumia msamiati huu kwa ufasaha

Kusoma
Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Jedwali
Michoro
Makala mbalimbali

Tuki: kamusi sanifu
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 125-129
5 3
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
kitabu teule
5 4
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
kitabu teule
5 5
Isimu Jamii
Sajili ya nyumbani na hospitalini
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa na kueleza sifa na sajili ya lugha ya nyumbani na hospitalini
Kubainisha tofauti za kipekee za sajili hizo

Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 88-92
5 6
Fasihi Simulizi
Kusoma
Visakale
Wajibu wa Kiswahili kitaifa na kimataifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa, kueleza na kutaja visakale mbalimbali na mafunzo yake, umuhimu wake katika jamii

Masimulizi
Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Kanda za kunasia sauti
Makala mbalimbali na vinasa sauti
KLB BK4 UK 125 
6 1
Kuandika
Insha ya masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuandika kwa unadhifu masimulizi kwa kuzingatia mantiki katika kufafanua vipengele vya insha

Kusikiliza
Kusimulia
Kuchambua vipengele
Kufanya zoezi

Nakala za masimulizi mbalimbali
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4 UK 134
6 2
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
kitabu teule
6 3
Isimu Jamii
Maabadini na mahakamani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa na kueleza sifa na sajili ya lugha ya maabadini na mahakamani
Kubainisha tofauti za kipekee za sajili hizo

Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 95-98
6 4
Kusikiliza na Kuzungumza
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuzitambulisha na kujadili sehemu za hotuba kwa kuzingatia matamshi bora

Majadiliano
Maigizo
Kufanya zoezi

Itendaji wa wanafunzi darasani
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 135-136 
6 5
Kusoma
Uvumbuzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kukuza staid za kusoma kwa matamshi bora
Kujadiliana msamiati na kutumia ipasavyo katika sentensi

Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi katika vikundi

Utendaji wa wanafunzi
F. Nkwera
KLB BK4
UK 136 
6 6
Sarufi
Yambwa na chagizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa maana ya istilahi hizo na kuzitumia ipasavyo kimazungumzo na katika sentensi
Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi katika vikundi

Vifaa halisi
Picha na michoro
F. Nkwera
KLB BK4
UK 141-143 
7 1
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro

Rejea zote za fasihi
7 2
Fasihi Simulizi
Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Tamthilia teule
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4 UK 143 
7 3
Isimu Jamii
Kuandika
Sajili ta darasani na muktadha wa kituo cha polisi
Matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa na lueleza sifa za sajili hizo
Kubainisha sifa za kipekee katika kujibu maswali

Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Matangazo
Mabango

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 100-102
7 4
Kusikiliza na Kuzungumza
Ulumbi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuimarisha msamiati bora na kukuza ukakamavu wa kuzungumza hadharani

Kutoa mifano ya ulumbi

Utendaji wa wanafunzi
Mwongozo wa fasihi simulizi
KLB BK4
UK 146-150
7 5
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 6
Kusikiliza na kuzungumza
Soga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuimarisha matamshi bora kwa kuzingatia matamshi mwafaka na kuweza kumakinika kikakamavu

Kutoa mifano ya soga

Utendaji wa wanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 146-150 
8 1
Kuandika
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutaja matukio
Kujadili na kuweza kuandika ratiba kwa kuzingatia kanuni zake mwafaka

Kujadili
Kuuliza na kujibu maswali
Kuandaa ratiba

Nakala za ratiba mbalimabli
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 143-145 
8 2
Kusoma
Ufisadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuimarisha matamshi bora
Kujadili msamiati
Kutunga sentensi na kutanmbua athari za ufisadi katika jamii

Kutaja visa
Kuuliza na kujibu maswali
Kujadiliana

Vifaa halisi
Picha na michoro

Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4
UK 150-153
Mwongozo wa mwalimu
8 3
Fasihi
Sarufi
Kudurusu
Virai
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi
Vifaa halisi
Picha na michoro
Jedwali
Picha na vifaa halisi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
8-9

Midterm

9 4
Kuandika
Insha ya mawazo na maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutambua sifa zake na kuweza kuandika insha hiyo kikamilifu

Kutaja kanuni zihusikanazo na insha hizo

Nakala za insha za mawazo
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4 UK 157 
9 5
Fasihi Simulizi
Malumbano ya utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kwa kuzingatia matamshi kueleza aina za utani na kuutumia ipasavyo katika mazungumzo

Kusimulia visa
Kuigiza na kufanya zoezi

Kinasa sauti

Mwongozo wa fasihi simulizi
KLB BK4
UK 158-160
9 6
Fasihi Simulizi
Malumbano ya utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kwa kuzingatia matamshi kueleza aina za utani na kuutumia ipasavyo katika mazungumzo

Kusimulia visa
Kuigiza na kufanya zoezi

Kinasa sauti

Mwongozo wa fasihi simulizi
KLB BK4
UK 158-160
10 1
Kusoma
Sarufi
Haki za watoto
Vishazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma kwa sauti na kwa ufasaha
Kuutumia msamiati
Kujibu maswali kawa ufasaha

Kujadiliana
Kusoma na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Michoro ya mtawi kwenye chati
Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4
UK 161-162
Mwongozo wa mwalimu
10 2
Fasihi Simulizi
Mashairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutofautisha mashairi ya arudhi na huru, kuyaghani kwa mahadhi mbalimbali na kueleza maudhui yaliyomo

Kughani mashairi
Utendaji wa wanafunzi
Kujadiliana
Kujibu maswali

Shairi la arudhi na huru

Hellenistic E.P
Mwongozo wa fasihi simulizi
Sikate tamaa
10 3
Kuandika
Maelezo na maelekezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutambua sifa zake na kuweza kuandaa na kutunga maelekezo mazuri yasiyopotosha

Kubainisha kanuni za maelezo
Kutunga insha nzuri ufaayo

Mifano ya insha
Kiswahili Fasaha BK4 UK 166 
10 4
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
10 5
Isimu Jamii
Sajili ya viwandani nay a bungeni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa na kueleza sifa za sajili hizo
Kubainisha sifa za pekee katika kujibu maswali


Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 104-105
10 6
Fasihi Simulizi
Mawaidha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa maana ya mawaidha, umuhimu wake na kuweza kutoa mawaidha kwa hadhira bila utatanishi

Kuigiza
Maelezo
Kuuliza na kujibu maswali

Waalikwa kutoa mawaidha
Mwongozo wa fasihi simulizi
KLB BK4
UK 168-169 
11 1
Ushairi
Kusoma kwa ufahamu
Bahari za Ushairi
Sokoni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa maana na miundo mbalimbali ya ushairi
Kuchambua muundo na mtindo, sanaa na uhuru wa ushairi

Kughani
Kuuliza na kujibu maswali
Kunga za ushairi
Vifaa halisi
Picha na michoro

A Mohamed
Kunga za Ushairi
Sikate Tamaa
11 2
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
11 3
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
11 4
Sarufi
Kusoma
Uchanganuzi wa sentensi
Kusoma kwa mapana Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuchanganua sentensi kwa kuzingatia aina za maneno, kishazi, kirai, kundu nomino na kundi tenzi
Kufanya zoezi

Kupambanua sentensi kwa:
- Mistari
- Michoro/jedwali
- Matawi
Utendaji wa wanafunzi
Michoro na majedwali
Majarida
Magazeti
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 171-174 
11 5
Kuandika
Tahadhari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maana na umuhimu wa tahadhari/onyo/ilani kwa kuzingatia kanuni zake
Kuandika tahadhari ipasavyo

Kujadilaiana
Kutaja aina
Kufanya zoezi

Picha, michoro, mabango, magazeti, vifaa halisi
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 175-176 
11 6
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
kitabu teule
12 1
Isimu Jamii
Sajili ya lugha ya kiutawala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa na kueleza sifa za sajili ya kiutawala
Kubainisha sifa zake za pekee
Kujibu maswali

Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 107
12 2
Sarufi
Kipozi na kitondo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kubainisha maana ya istilahi hizo na kuweza kuzionyesha na kuzitumia ipasavyo
Kueleza
Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
I. Ikarabati
UK 99-100
KLB BK4
UK 168-170 
12 3
Kusoma
Usanifishaji wa Kiswahili (Kenya)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma, kuelewa na kuzieleza hatua zilizopitiwa hadi lugha ya Kiswahili kusanifishwa nchini Kenya
Kujadiliana
Kusikiliza
Kuuliza maswali
Kufanya utafiti
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
12 4
Fasihi
Lakabu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa maana na matumizi ya lakabu
Kubainisha umuhimu wake katika jamii

Kusikiliza
Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
Ngure: Fasihi Simulizi
KLB BK4 UK 80 
12 5
Kuandika
Kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuandika kwa unadhifu kumbukumbu kwa kuzingatia kanuni zake ipasavyo kama namna ya kudurusu

Kusikiliza
Kuuliza maswali
Kufanya zoezi

Mifano ya nakala za kumbukumbu

Mwongozo:
Kamusi sanifu
Chem BK4 UK 169
12 6
Sarufi
Uchanganusi wa sentensi (Kudurusu)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuchanganua sentensi kwa kutambulisha KN + KT na vipashio vyake kwa matawi, mistari na jedwali ipasavyo

Kujadiliana
Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
I. Ikarabati
UK 98-107
KLB BK4 UK 171

Your Name Comes Here


Download

Feedback