Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA NNE
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1

Opening and Reporting

2 1
Kusikiliza na Kuzungumza
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuzitambulisha na kujadili sehemu za hotuba kwa kuzingatia matamshi bora

Majadiliano
Maigizo
Kufanya zoezi

Itendaji wa wanafunzi darasani
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 135-136 
2 2
Kusoma
Uvumbuzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kukuza staid za kusoma kwa matamshi bora
Kujadiliana msamiati na kutumia ipasavyo katika sentensi

Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi katika vikundi

Utendaji wa wanafunzi
F. Nkwera
KLB BK4
UK 136 
2 3
Sarufi
Yambwa na chagizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa maana ya istilahi hizo na kuzitumia ipasavyo kimazungumzo na katika sentensi
Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi katika vikundi

Vifaa halisi
Picha na michoro
F. Nkwera
KLB BK4
UK 141-143 
2 4
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro

Rejea zote za fasihi
2 5
Fasihi Simulizi
Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Tamthilia teule
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4 UK 143 
2 6
Isimu Jamii
Sajili ta darasani na muktadha wa kituo cha polisi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa na lueleza sifa za sajili hizo
Kubainisha sifa za kipekee katika kujibu maswali

Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 100-102
3 1
Kuandika
Matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuandika na kutoa matangazo kwa kuzingatia kaida zake
Kuandaa matangazo mazuri

Kutaja
Kuandaa
Kuandika

Matangazo
Mabango
Vifaa halisi

Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4 UK 143
3 2
Kusikiliza na Kuzungumza
Ulumbi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuimarisha msamiati bora na kukuza ukakamavu wa kuzungumza hadharani

Kutoa mifano ya ulumbi

Utendaji wa wanafunzi
Mwongozo wa fasihi simulizi
KLB BK4
UK 146-150
3 3
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 4
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 5
Kusikiliza na kuzungumza
Soga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuimarisha matamshi bora kwa kuzingatia matamshi mwafaka na kuweza kumakinika kikakamavu

Kutoa mifano ya soga

Utendaji wa wanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 146-150 
3 6
Kuandika
Kusoma
Ratiba
Ufisadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutaja matukio
Kujadili na kuweza kuandika ratiba kwa kuzingatia kanuni zake mwafaka

Kujadili
Kuuliza na kujibu maswali
Kuandaa ratiba
Nakala za ratiba mbalimabli
Vifaa halisi
Picha na michoro
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 143-145 
4 1
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 2
Sarufi
Virai
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutambua kirai na aina za virai
Kutunga sentenzi sahihi kwa kuvitumia kwa ufasaha bila tatizo

Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Jedwali
Picha na vifaa halisi
F. Nkwera
KLB BK4
UK 153-154
4 3
Kuandika
Insha ya mawazo na maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutambua sifa zake na kuweza kuandika insha hiyo kikamilifu

Kutaja kanuni zihusikanazo na insha hizo

Nakala za insha za mawazo
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4 UK 157 
4 4
Fasihi Simulizi
Malumbano ya utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kwa kuzingatia matamshi kueleza aina za utani na kuutumia ipasavyo katika mazungumzo

Kusimulia visa
Kuigiza na kufanya zoezi

Kinasa sauti

Mwongozo wa fasihi simulizi
KLB BK4
UK 158-160
4 5
Fasihi Simulizi
Malumbano ya utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kwa kuzingatia matamshi kueleza aina za utani na kuutumia ipasavyo katika mazungumzo

Kusimulia visa
Kuigiza na kufanya zoezi

Kinasa sauti

Mwongozo wa fasihi simulizi
KLB BK4
UK 158-160
4 6
Kusoma
Haki za watoto
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma kwa sauti na kwa ufasaha
Kuutumia msamiati
Kujibu maswali kawa ufasaha

Kujadiliana
Kusoma na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4
UK 161-162
Mwongozo wa mwalimu
5 1
Sarufi
Vishazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa maana na kuvitumia ipasavyo katika sentensi na kufanya zoezi

Kutoa mifano
Kusikiliza
Kuuliza maswali
Kufanya zoezi

Michoro ya mtawi kwenye chati
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 163-164 
5 2
Fasihi Simulizi
Mashairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutofautisha mashairi ya arudhi na huru, kuyaghani kwa mahadhi mbalimbali na kueleza maudhui yaliyomo

Kughani mashairi
Utendaji wa wanafunzi
Kujadiliana
Kujibu maswali

Shairi la arudhi na huru

Hellenistic E.P
Mwongozo wa fasihi simulizi
Sikate tamaa
5 3
Kuandika
Maelezo na maelekezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutambua sifa zake na kuweza kuandaa na kutunga maelekezo mazuri yasiyopotosha

Kubainisha kanuni za maelezo
Kutunga insha nzuri ufaayo

Mifano ya insha
Kiswahili Fasaha BK4 UK 166 
5 4
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 5
Isimu Jamii
Sajili ya viwandani nay a bungeni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa na kueleza sifa za sajili hizo
Kubainisha sifa za pekee katika kujibu maswali


Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 104-105
5 6
Fasihi Simulizi
Mawaidha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa maana ya mawaidha, umuhimu wake na kuweza kutoa mawaidha kwa hadhira bila utatanishi

Kuigiza
Maelezo
Kuuliza na kujibu maswali

Waalikwa kutoa mawaidha
Mwongozo wa fasihi simulizi
KLB BK4
UK 168-169 
6 1
Ushairi
Bahari za Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa maana na miundo mbalimbali ya ushairi
Kuchambua muundo na mtindo, sanaa na uhuru wa ushairi

Kughani
Kuuliza na kujibu maswali

Kunga za ushairi

A Mohamed
Kunga za Ushairi
Sikate Tamaa
6 2
Kusoma kwa ufahamu
Sokoni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma, kufafanua maana ya msamiati uliotumika
Kujibu maswali

Kusoma
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4
UK 169-171
Mwongozo wa mwalimu
6 3
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 4
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 5
Sarufi
Kusoma
Uchanganuzi wa sentensi
Kusoma kwa mapana Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuchanganua sentensi kwa kuzingatia aina za maneno, kishazi, kirai, kundu nomino na kundi tenzi
Kufanya zoezi

Kupambanua sentensi kwa:
- Mistari
- Michoro/jedwali
- Matawi
Utendaji wa wanafunzi
Michoro na majedwali
Majarida
Magazeti
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 171-174 
6 6
Kuandika
Tahadhari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maana na umuhimu wa tahadhari/onyo/ilani kwa kuzingatia kanuni zake
Kuandika tahadhari ipasavyo

Kujadilaiana
Kutaja aina
Kufanya zoezi

Picha, michoro, mabango, magazeti, vifaa halisi
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 175-176 
7 1
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
kitabu teule
7 2
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
kitabu teule
7 3
Isimu Jamii
Sajili ya lugha ya kiutawala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa na kueleza sifa za sajili ya kiutawala
Kubainisha sifa zake za pekee
Kujibu maswali

Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 107
7 4
Sarufi
Kipozi na kitondo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kubainisha maana ya istilahi hizo na kuweza kuzionyesha na kuzitumia ipasavyo
Kueleza
Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
I. Ikarabati
UK 99-100
KLB BK4
UK 168-170 
7 5
Kusoma
Usanifishaji wa Kiswahili (Kenya)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma, kuelewa na kuzieleza hatua zilizopitiwa hadi lugha ya Kiswahili kusanifishwa nchini Kenya
Kujadiliana
Kusikiliza
Kuuliza maswali
Kufanya utafiti
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
7 6
Fasihi
Lakabu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa maana na matumizi ya lakabu
Kubainisha umuhimu wake katika jamii

Kusikiliza
Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
Ngure: Fasihi Simulizi
KLB BK4 UK 80 
8 1
Kuandika
Kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuandika kwa unadhifu kumbukumbu kwa kuzingatia kanuni zake ipasavyo kama namna ya kudurusu

Kusikiliza
Kuuliza maswali
Kufanya zoezi

Mifano ya nakala za kumbukumbu

Mwongozo:
Kamusi sanifu
Chem BK4 UK 169
8 2
Sarufi
Uchanganusi wa sentensi (Kudurusu)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuchanganua sentensi kwa kutambulisha KN + KT na vipashio vyake kwa matawi, mistari na jedwali ipasavyo

Kujadiliana
Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
I. Ikarabati
UK 98-107
KLB BK4 UK 171
8 3
Fasihi Simulizi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kudurusu ulumbi, soga, malumbano ya utani, mawaidha, maigizo, ngomezi, nyimbo, mighani, majigambo, tondozi na pembezi

Kujadiliana maana, siaf na umuhimu
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro

KLB BK4 UK 96,102, 108,116,130,137,144
Jarida la fasihi simulizi
8 4
Kusoma
Haki za binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuimarisha staid za matamshi bora, kujadili msamiati, kutunga sentensi na kutambua haki za binadamu

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
Tuki: Kamusi sanifu  Mwongozo wa mwalimu
8 5
Fasihi Simulizi
Mighani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kwa kuzingatia matamshi bora, kughani na kubainisha umuhimu wa mighani

Majadiliano
Kughani

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mwongozo wa fasihi sanifu
8 6
Sarufi
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kubainisha alama za kuakifisha na kuzitumia ipasavyo katika mazungumzo au dayalojia

Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro

KLB BK4 UK 203
Chem BK4 UK 156
9

Mid term Exams and Break

10 1
Fasihi
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kudurusu maswali ya fasihi simulizi, riwaya, tamthilia na ushairi

Kuuliza na kujibu maswali
Majadiliano

Nakala za maswali

Nakala za vitabu teule vya fasihi
10 2
Kuandika
Meme na barua meme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kubainisha nukulishi au kipepesi/faksi, mdahalishi na barua za rununu
Kubainisha faida za huduma hizo
Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Majadiliano
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
I. Ikarabati UK 4
KLB BK4 UK 50 
10 3
Isimu Jamii
Fasihi simulizi
Sajili ya kitaaluma
Maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa sifa na msamiati utumikao katika sajili ya kitaaluma na kuweza luutumia ipasavyo katika mawasiliano

Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 111
Tuki: kamusi sanifu
10 4
Sarufi
Mzizi wa kitenzi na viambishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kudurusu tena ? mzizi wa kitenzi na viambishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi

Kusikiliza
Kuuliza maswali
Majadiliano

Vifaa halisi
Picha na michoro
 KLB BK4 UK 43
10 5
Kusikiliza na Kuongea
Maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadili mambo muhimu yanayozingatiwa katika maigizo na kushiriki ipasavyo kuigiza

Kusikiliza
Kuigiza
Kujadiliana

Vifaa halisi
Picha na michoro
KLB BK4
UK 177-179
10 6
Kusoma
Katiba ya wanyama
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma kwa ufasaha
Kujadili msamiati na kuutungia sentensi ipasavyo

Kusoma taarifa
Kujadiliana
Kutunga sentensi

Picha za wanyama
Viungo vya miili yao

Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4
UK 180-183
11 1
Fasihi
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma, kuchambua dhamira, maudhui, mbinu za lugha na wahusika bila utatanishi

Kusoma
Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali

Mazingira ya shule
Maleba
Vifaa vya bandia
kitabu teule
11 2
Kuandika
Wasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maana, kujadili aina na mambo muhimu yazingatiwayo na kuweza kuandika mtungo mzuri

Kusikiliza
Kujadiliana
Kuandika wasifu

Nakala za wasifu
 KLB BK4 UK 187
11 3
Sarufi
Mnyambuliko wa vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutambua vitenzi vya asili ya kigeni
Kuvinyambua katika hali mbalimbali na katika sentensi

Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali

Jedwali
Vifaa halisi
Picha na michoro

Chem BK4 UK 39
I. Ikarabati UK 8
KLB BK4
UK 183-185
11 4
Isimu Jamii
Daktari na mgonjwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa sifa na msamiati utumikao katika muktadha wa mahojiano kati ya daktari na mgonjwa na kueleza

Kujadiliana
Kuigiza
Kuuliza na kujibu maswali

Maleba
Mahambo
Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 112
11 5
Fasihi
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma, kuchambua dhamira, maudhui, mtindo, muundo na bahari za ushairi ipasavyo

Kusoma
Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali

Ushairi
Vifaa halisi
Picha na michoro

Malenga wa ziwa kuu
Kunga za ushairi
Sikate Tamaa
11 6
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Ulevi
Uandishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma kwa matamshi bora
Kutambulisha madhara ya ulevi na kupendekeza njia za kukabiliana na uraibu huo

Maelezo
Kusoma
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Picha na matbaa
Picha za uandishi wa Kiswahili

Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4
UK 188-190
12 1
Fasihi Simulizi
Fasihi Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Maana, dhima, umuhimu, tofauti na vipera vya fasihi simulizi viweze kueleweka ipasavyo

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali

Mifano ya kazi za fasihi
H.E Facilitators
Mwongozo wa fasihi simulizi 
12 2
Sarufi
Nyakati na hali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutambua viambishi viwakilishi na hali
Kuvitumia katika sentensi katika hali yakinishi na hali kanushi

Maelezo
Kutunga sentensi
Kuuliza na kujibu maswali

Jedwali
Vifaa halisi
Picha na michoro

KLB BK4
UK 194-197
12 3
Kuandika
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kukuza staid za kuandika kisanii

Maelezo
Kusoma na kuandika

Makala ya mashairi ya arudhi
Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4 UK 197
12 4
Kusikiliza na kuzungumza
Ngomezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutambua na kueleza maana na aina za ngomezi
Kufafanua matumizi ya ngomezi katika jamii

Kujadiliana
Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mwongozo wa fasihi simulizi
KLB BK4 UK 199 
12 5
Isimu Jamii
Makosa katika matumizi ya lugha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa dhana ya makosa ya lugha, nyanzo vyake na aina za makosa katika lugha na kuyakosoa

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 116-120
12 6
Kusoma
Makala kutoka kwa wavuti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma makala yaliyoteuliwa kutoka kwenye wavuti kwa ufasaha na kuweza kujibu maswali

Kusoma
Kuuliza na kujibu maswali

Makala
Vifaa halisi
Picha na michoro
Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4
UK 204-206 
13 1
Fasihi Simulizi
Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maana na aina mbalimbali za mazungumzo na kubainisha umuhimu wake katika jamii

Kujadiliana
Kufanya zoezi

Aina mbalimbali za mazungumzo

Mwongozo wa fasihi simulizi
Ngure
Fasihi simulizi
13 2
Kuandika
Sarufi
Muhtasari
Sentensi Uundaji wa maneno, uunganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma, kufafanua maana ya msamiati uliotumika
Kujibu maswali ya ufupisho bila utatanishi

Kusoma taarifa
Kujibu maswali ya ufupisho
Makala ya ufupisho
Jedwali
Vifaa halisi
Picha na michoro

Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4
UK 199-201
13 3
Fasihi Simulizi
Viungo muhimu vya riwaya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuvitambua, kuchambua riwaya teule na kukuza staid ya kusoma kwa kina ? dhamira, maudhui, wahusika, mandhari na muundo

Kujadiliana
Maigizo
Kuimba
Kuuliza na kujibu maswali

Riwaya teule
 Ikarabati
KLB BK4
UK 213-215
13 4
Kusikiliza na kuzungumza
Maghani na majigambo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma kwa ufasaha, kutambua aina zake na kughaniana kisha kutofautisha na maghani

Kueleza
Kughani
Kuuliza na kujibu maswali

Utendaji wa wanafunzi
Mwongozo wa fasihi simulizi
NgureFasihi simulizi
KLB BK4
UK 216-218
13 5
Kusikiliza na kuzungumza
Tondozi na pembezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutambua aina za tondozi na pembezi, kuweza kuzitofautisha na kufanya zoezi

Utambuzi wa aina za tondozi na pembezi
Kufanya zoezi

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mwongozo wa fasihi simulizi
NgureFasihi simulizi
KLB BK4
UK 216-218
13 6
Kusoma
Fasihi na mazingira ya sasa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutaja na kutambua vipera vyake na kuvitumia kama ipasavyo kutambua umuhimu wake

Kueleza
Kuuliza na kujibu maswali

Vitu halisi na utendaji wa wanafunzi

Ngure: Fasihi simulizi
I. Ikarabati
UK 229-230
14

End term Exams and Breaking


Your Name Comes Here


Download

Feedback