Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA NNE
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1 4
Ufahamu
Sarufi
Ufahamu
Upatanisho wa kisarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kusoma kwa sauti na kimya.
-Kujibu maswali.
-Kubainisha umuhimu wa usalama barabarani.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 2-3
1 5
Sarufi
Kusoma
Upatanisho wa kisarufi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza upatanisho wa kisarufi kati ya nomino na vivumishi.
-Kutambua upatanisho wa kisarufi kati ya nomino na viulizi.
-Kutunga sentensi sahihi kutumia viulizi.
Tajriba.
Maswali na majibu.
Mifano.
Mazoezi.
Marudio
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 3-8
1 6
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutaja na kugusia yaliyomo katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi cha fasihi.
-Kueleza mtiririko wa kitabu kwa muhtasari.
-Kueleza dhamira ya riwaya teule.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
2 1
Sarufi na matumizi ya lugha
Upatanisho wa kisarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana na manufaa ya upatanisho wa kisarufi.
-Kukamilisha sentensi ili kuleta upatanisho wa kisarufi.
-Kutunga sentensi zenye upatanisho wa kisarufi.
Tajriba.
Maswali na majibu.
Mifano.
Mazoezi.
Marudio
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 13-17
2 2
Kusoma kwa kina
Ufupisho
Fasihi andishi
Muhtasari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza asili na maendeleo ya fasihi andishi.
-Kufafanua sifa zinazobainisha fasihi andishi.
-Kutaja tanzu za fasihi andishi.
Mjadala
Maswali na majibu.
Uvumbuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 17-19
2 3
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Aina za maneno: Nomino
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya nomino.
-Kuainisha makundi ya nomino na kutaja mifano.
-Kutumia nomino katika sentensi sahihi.
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 23-25
2 4
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kufafanua muundo wa Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza mtindo na vipengele vyake katika riwaya.
-Kutofautisha baina ya muundo na mtindo katika riwaya.
Kusoma
Kujadili
Kusikiliza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
2 5
Kuandika
Sarufi na matumizi ya lugha
Tahakiki
Viwakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya Tahakiki.
-Kuorodhesha mambo anayohitaji kuzingatia mhakiki anapoandika Tahakiki.
-Kuandika tahikiki ya maneno yasiyopungua 400 wala kuzidi 450.
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 27-29
2 6
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Viwakilishi
Mashairi huru
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kuainisha viwakilishi mbalimbali na mifano yake.
-Kufafanua matumizi ya viwakilishi.
-Kutunga sentensi kwa kutumia viwakilishi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 36-42
3

Mtihani

4 1
Kuandika
Insha ya methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kufafanua muundo wa insha ya methali.
-Kupambanua sifa za insha ya methali.
-Kuandika insha ya methali.
Masimulizi
Uchunguzi
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 45-46
4 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza umuhimu wa lugha katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kuchambua tamathali na matumizi ya lugha katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza sajili na muktadha wa lugha mbalimbali.
Kusoma
Kuadili
Kudodoso fani za lugha
Kuandika
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
4 3
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Isimu jamii: Sajili ya bunge
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya sajili katika lugha.
-Kufafanua sifa za lugha ya sajili ya bunge.
-Kuigiza mazungumzo na kutoa idhibati kuwa ni lugha ya bungeni.
Kuandika
Kuuliza maswali
Kujibu maswali
Kuigiza
Majadiliano.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 47-48
4 4
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutaja vipengele vya kutumia kupata maadili ya Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza maana ya anwani na umuhimu wake.
-Kufafanua wahusika na jinsi wanavyojenga maadili.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
4 5
Kusoma kwa kina
Kusikiliza na kuzungumza
Muundo na mtindo katika mashairi arudhi
Fasihi simulizi: Mafumbo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana na umuhimu wa fani katika mashairi ya arudhi.
-Kufafanua muundo, mtindo, wahusika, na matumizi ya lugha
katika mashairi ya arudhi.
-Kuchambua fani katika mashairi ya arudhi.
Maelezo
Ufafanuzi.
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 54-56
4 6
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi: Misimu
Lakabu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza misimu.
-Kueleza sababu ya misimu kuchipuka.
-Kufafanua sifa ya misimu.
-Kutoa mifano ya misimu.
Ufaraguzi
Utafiti
Maelezo
Ufanunuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 57-60
5 1
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa riwaya.
-Kutaja maadili katika riwaya.
-Kuchambua vipengele tofauti za fasihi.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
5 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutaja wahusika wote kutoka Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
-Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
-Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
5 3
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza kuzungumza
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kuandika; Utungaji wa kisanii: Uandishi wa ushairi huru
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutaja wahusika wote kutoka Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
-Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
-Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
5 4
Kusikiliza kuzungumza
Mahojiano
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kufafanua muundo wa mahojiano.
-Kuandika insha ya mahojiano kwa ufasaha.
-Kuigiza mahojiano darasani.
Maelezo.
Kuigiza.
Kuandika.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 71-74
5 5
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maudhui, wahusika na mtindo wa mwandishi
-Kueleza tofauti kati ya vipengele mbalimbali ya maudhui.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti (kazi ya ziada)
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
5 6
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maudhui, wahusika na mtindo wa mwandishi
-Kueleza tofauti kati ya vipengele mbalimbali ya maudhui.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti (kazi ya ziada)
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
6 1
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Ufahamu wa kusikiliza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kusoma kwa sauti na matamshi bora
-Kupambanua sifa za wahusika, maudhui, mtindo wa mwandishi
-Kujibu maswali.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuzuru maktaba
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kamusi ya fasihi simulizi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
6 2
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma ufahamu.
Kutoa maelezo kuhusu jinsi Kiswahili kinavyotumika katika vyombo vya habari Duniani.
Kufafanua na kutunga sentensi semi na msamiati.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 97-98
6 3
Sarufi na matumizi ya lugha
Mnyambuliko vitenzi II
Mnyambuliko vitenzi vya silabi ya konsonanti moja
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza mnyambuliko wa vitenzi.
Kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi.
Kufafanua maana ya vitenzi katika kauli mbalimbali.
Ufafanuzi.
Maelezo.
Mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 98-100
6 4
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kwanza ya hadithi fupi (Fadhili za punda)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kwanza.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kwanza.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
6 5
Kusoma kwa kina
Kuandika
Muundo na mtindo katika fasihi andishi
Utafiti wa kazi za fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kufafanua tofauti zilizopo kati ya dhana za muundo na mtindo wa kazi za fasihi andishi.
Kueleza vipengele vya kimsingi vya kuzingatia katika fasihi andishi.
Kupambanua mtindo wa tamthilia au hadihi fupi teule unayoisoma darasani.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 102-105
6 6
Fasihi
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kukariri shairi.
Kuonyesha dhamira ya mshairi.
Kueleza uhuru wa kishairi alizozitumia mshairi.
Kueleza
Kusoma
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 112-113
7

Likizo fupi

8 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Miviga
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua maana ya miviga katika jamii
Kubainisha umuhimu wa miviga katika jamii
Kubainisha miviga mizuri na kuendeleza na mibaya kupingwa vita
Kueleza
Kusikiliza
Kujadili
Kusoma makala kitabuni kwa sauti
kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 115-116
8 2
Kusoma (fasihi)
Ufupisho
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya pili.
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya pili.
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi
Kitabu teule
8 3
Sarufi na matumizi ya lugha
Aina za maneno; Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za vielezi.
Kueleza aina za vielezi.
Kutunga sentensi akitumia aina za vielezi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 118-121
8 4
Sarufi na matumizi ya lugha
Aina za maneno; Viunganishi
Aina za maneno; Vihusishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za viunganishi.
Kueleza aina za viunganishi.
Kueleza dhima ya viunganishi katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia aina za vivumishi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 121-123
8 5
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya nne na ya tano ya hadithi fupi (Haru na Sabina)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya nne na ya tano.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya nne na ya tano.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
8 6
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Aina za maneno; Vihisishi
Mashairi ya arudhi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za vihisishi.
Kueleza aina za vihisishi.
Kueleza dhima ya vihisishi katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia vihisishi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 124-125
9 1
Kuandika
Memo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua maana ya memo.
Kueleza muundo wa memo.
Kuandika memo.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 128-129
9 2
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Baruameme
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua maana ya baruameme
Kueleza muundo wa baruameme.
Kuandika baruameme.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 129-130
9 3
Kusoma (fasihi)
Kuandika
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ujumbe wa rununu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya sita
Kupambanua sifa za wahusika katika sita
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi
Kitabu teule
9 4
Kusikiliza na kuzungumza
Ngano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya ngano.
Kueleza umuhimu wa ngano.
Kufafanua sifa za ngano kwa ujumla.
Kusoma
Majadiliano
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 131-134
9 5
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Ngano
Uundaji wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za ngano
Kutoa mifano ya ngano, mfano mifano za ngano za mtanziko.
Teua aina za wahusika wanaotumika katika ngano na ufafanue matumizi yao.
Kusoma
Majadiliano
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 133-134
9 6
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya saba (Kila Mchezea Wembe)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya saba.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya saba.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
10 1
Kusoma kwa mapana
Changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kujadili matatizo yanayozikabili lugha ya Kiswahili kwa mujibu wa taarifa.
Kueleza jinsi Changamoto zinazoikumbuka lugha ya Kiswahili zinavyoweza kukabiliwa.
Kufafanua jinsi lugha ya Kiswahili inaweza kusambazwa nchini.
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 139-141
10 2
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Insha za masimulizi
Mighani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kujieleza kwa mtiririko ufaao
Kutambua hatua za uandishi bora wa insha maelezo
Kuandika insha ya maelezo kwa kutumia fani mbalimbali za lugha
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 142
10 3
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Mwingiliano wa aina za maneno
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza jinsi aina za maneno hubadilika kutegemea utendaji kazi yake katika sentensi
Kufafanua jinsi aina za maneno huingiliana.
Kubainisha maneno yaliyopigwa mistari ni ya aina gani.
Kutunga sentensi akitumia msamiati ufaao
Mashindano
Majadiliano
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 146-148
10 4
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya nane.
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya nane.
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi
Kitabu teule
10 5
Kuandika
Kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa insha ya kumbukumbu
Kudondoa makosa yote katika insha yake na kuyarekebisha
Kuandika insha ya kumbukumbu upya bila makosa yoyote
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 150-152
10 6
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Isimujamii: Matumizi ya lugha katika hotuba
Nyakati, hali na ukanushaji wake
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza matumizi ya lugha katika hotuba.
Kufafanua sifa za lugha ya hotuba.
Kutambua umuhimu wa Utoaji hotuba
Kudadisi
Uchunguzi
Ufafanuzi
Uhakiki
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 153
11 1
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya tisa (Ahadi ni Deni)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya tisa.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya tisa.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
11 2
Kusoma kwa mapana
Historia ya lugha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma taarifa ‘Historia ya lugha’
Kueleza mikakati iliyojadiliwa katika taarifa ya kukiimarisha Kiswahili.
Kutambua hali ya Kiswahili nchini Kenya huku akirejelea taarifa aliyoisoma.
Kuandika
Kuuliza maswali
Kujibu maswali
Kuigiza
Majadiliano.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 158-160
11 3
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Hotuba
Isimujamii: Sajili ya viwandani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua umuhimu wa hotuba.
Kufafanua muundo wa hotuba.
Kuandika hotuba.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 160-161
11 4
Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Mawasiliano katika tarakilishi na utandawazi
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kwa sauti na kimya.
Kujibu maswali.
Kutaja sifa zinazodhihirisha mchakato wa mawasiliano kupitia tarakilishi.
Maelezo
Ufafanuzi.
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 163-165
11 5
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya kumi.
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya kumi.
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
11 6
Sarufi
Kusoma kwa kina
Ukanushaji wa hali II
Kamliwaze
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua matumizi ya –a-, -po-, -nge-, -ngali- na –ngeli-
Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo
Kukanusha sentensi hali hizo tatu
Maelezo
Ufafanuzi.
Mifano.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 165-167
12 1
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Insha ya mawazo
Mawaidha katika fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa insha ya mawazo
Kufafanua vigezo muhimu vya insha mawazo
Kuandika insha ya mawazo ifaavyo.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 61-62
12 2
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kumi na moja (Nipe nafasi)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kumi na moja.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kumi na moja.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
12 3
Ufahamu
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua mawazo makuu katika kifungu
Kueleza msamiati na kuutungia sentensi kwa usahihi
Kujibu maswali ya ufahamu kiukamilifu
Maelezo.
Mifano.
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 171-172
12 4
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Uakifishaji
Idhini ya kishairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kifungu kisha kutoa mifano ya matumizi ya lugha na alama za uakifishaji.
Kutaja alama za uakifishaji zilizotumiwa katika kifungu.
Kugeuza sentensi ziwe katika usemi halisi.
Kuandika sentensi katika usemi taarifa.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 173-175
12 5
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Insha ya wasifu
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya wasifu
Kutambua sifa za wasifu na umuhimu wake.
Kuandika wasifu yake kwa muundo sahihi.
Maelezo
Ufafanuzi.
Maswali na majibu.
Majadiliano.
Tajriba
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 176
12 6
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya kumi na mbili.
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya kumi na mbili.
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
13

Mtihani wa mwigo

14

Kusahihisha na kutoa matokeo


Your Name Comes Here


Download

Feedback