If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 |
Ufunguzi wa shule na kudurusu mtihani wa muhula tangulizi |
|||||||
2 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Isimu jamii; Sajili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili. Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini. Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
|
|
2 | 2 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi Sarufi Kusoma |
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Viulizi Vivumishi vya Idadi Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maudhui ya ufahamu. Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu. Kujibu maswali kwa usahihi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya Methali Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 3-7
|
|
2 | 3 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi Dhima ya Fasihi kwa jumla |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Magazeti Nakala halisi ya barua rasmi Kitabu cha Fasihi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
2 | 4 |
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Shairi: Mikanda Tujifungeni
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kutaja maudhui katika shairi. Kueleza sifa bainifu za shairi huru. Kujibu maswali yatokanayo na shairi huru kwa usahihi. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Shairi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 20-21
|
|
2 | 5 |
Sarufi
|
‘A’ Unganifu
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’ Matumizi ya ‘O’ rejeshi Viashiria visisitizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa ‘A’ unganifu. Kutunga sentensi akitumia ‘A’ unganifu mwafaka pamoja na nomino. Kukamilisha sentensi kwa kutumia ‘A’ unganifu. |
Kusoma
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 21-23
|
|
2 | 6 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma Kuandika |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Magazeti |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
3 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi Kusoma (fasihi) |
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
Vivumishi kwa pekee Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maadili na maudhui ya kifungu. Kujibu maswali kutokana na ufahamu. Kutambua umuhimu wa kuwa msikivu. |
Kusikiliza
Kujadili Kuandika Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 32-33
|
|
3 | 2 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari Maamkizi na Mazungumzo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
3 | 3 |
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Sarufi |
Umoja wa Kitaifa
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Vielezi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza umuhimu wa usanifishaji. Kusoma ufahamu, ‘Umoja wa Kitaifa’ Kufafanua mambo yanayosaidia kuleta umoja wa Kitaifa hapa nchini. |
Usomaji
Maelezo Maswali na majibu. Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 43-44
|
|
3 | 4 |
Kusoma
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba
Fasihi Simulizi; Mazungumzo Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuelezea muundo wa hotuba Kutaja vipengele muhimu vya hotuba mufti Kuandika hotuba kwa hati nadhifu. |
Kueleza
Kujadili Kuhutubu mbele ya darasa |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 49-50
|
|
3 | 5 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza Sarufi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Fasihi Simulizi; Ulumbi Viwakilishi (W) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
3 | 6 |
Kusoma
Kuandika Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja lahaja za Kiswahili na kule zinakozungumzwa. Kufafanua chimbuko la Kiswahili. Kueleza ushahidi wa kihistoria unaoonyeshwa kuwa kiswahili kilizungumzwa katika sehemu ya Afrika Mashariki. |
Kueleza
Kusoma Kujadili Kuandika Kujibu maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 60-62
|
|
4 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi Kuandika |
Isimujamii; Mahakamani
Mwingiliano wa Maneno Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani. Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani. Kusoma kifungu na kujibu maswali. |
Kudodosa
Kusoma Kujadili Kuigiza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi Redio na vinasa sauti |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 64-65
|
|
4 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Sarufi |
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma kifungu na kueleza. Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu. Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili. |
Kueleza
Kusoma Kujadili Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
|
|
4 | 3 |
Kusoma
Kuandika Kusoma (fasihi) |
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi. Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake. Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira. |
Maelezo
Ufafanuzi. Ufaraguzi. Majadiliano. Maswali na majibu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
|
|
4 | 4 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma Kusikiliza na kuongea |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Shairi Nyuki nimekoni? Fasihi Simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
4 | 5 |
sarufi
Kusoma kuandika Fasihi |
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili Ratiba Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi Mafano Shuka- panda Nuka-nukia Lala-amka Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha |
Kuchanganua
|
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
|
|
4 | 6 |
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza sarufi sarufi |
Dini ya ulimwengu
Visasili Uundaji wa nomino Uundaji wa nomino |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu -kupanua msamiati wake |
kusoma
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
|
|
5 | 1 |
Kuandika
Fasihi Kusoma Marudio |
Uandishi wa insha
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Kukandamizwa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika isnha ya masimulizi |
Kutoa mifano
|
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
|
|
5 | 2 |
2
Kusikiliza na kuzungumza Kuandika Fasihi |
sarufi
Fasihi simulizi Ushairi Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai Anian mbalimbali ya virai Mfano Kirai nomino Kirai kitenzi Virai vielezi Kirai kivumishi Virai vihusishi |
-kusoma - kutaja mifano
|
Kitabu
Kamusi kitabu cha mwanafunzi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk
|
|
5 | 3 |
Fasihi
Kusoma 2 Kusikiliza na kuzungumza |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kukandamizwa sarufi Fasihi simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
5 | 4 |
Kuandika
Fasihi Fasihi |
Ushairi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo |
- Maelezo
Kuandika |
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
|
|
5 | 5 |
kusoma
Kusikiliza na kuzungumza Sarufi Kuandika |
mchezo wa kuigiza
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii vishazi wasifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa kudadisi ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
-
Kusoma Kukariri |
Kitabu
Kamusi kitabu cha mwanafunzi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 125
|
|
5 | 6 |
Fasihi
andishi
Kusoma Kusikiliza na kuongea |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
mhepa Miviga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 1 |
sarufi
kuandika Fasihi |
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi |
Maelezo
|
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
|
|
6 | 2 |
Fasihi andishi
Kusoma Kusikiliza na kuongea sarufi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
mhepa Miviga setensi ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 3 |
kuandika
Fasihi Fasihi andishi Ufahamu |
utungaji wa kiuamilifu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Haki zetu binadamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
|
|
6 | 4 |
Kuzikiliza na kuongea
sarufi Kuandika |
maigizo
aina za sentensi utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuigiza maigizo kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani |
Kuchambua
|
kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
|
|
6 | 5 |
Fasihi simulizi
Fasihi Ufahamu Kuzikiliza na kuongea |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Haki zetu binadamu maigizo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
kitabu |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 6 |
sarufi
Kuandika Fasihi simulizi Fasihi |
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi mfano sentensi sahihi sentensi ambatano sentensi changamano mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi mfano kutumia viunganishi, vishazi viwili |
Mjadala
|
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 148-150
|
|
7 | 1 |
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza sarufi |
usalama barabarani
ushairi nyimbo uchanganuzi wa sentensi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
- Kusoma
Jibu maswali |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 158-159 |
|
7 | 2 |
Kuandika
Fasihi Fasihi Kusoma |
utungaji wa kiuamilifu
tahadhari
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine uzalendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua aina mbili za tahadhari ilani na onyo |
Kuandika
kueleza |
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 165-166
|
|
7 | 3 |
Kisikiliza na kuongea
kusoma Kuandika Fasihi |
Hotuba
uzalendo mahojiano na dayolojia Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali |
Malumbano
|
Kitabu
Tamthilia Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
|
|
7 | 4 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea Sarufi |
Uzalendo
Hotuba Nyakati na hali marudio |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
Jibu maswali |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
7 | 5 |
kusoma
Kuandika Fasihi Kusoma |
uzalendo
mahojiano na dayolojia Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Uraibu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali |
Kusoma
Kuchambua |
Tamthilia
kitabu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
|
|
7 | 6 |
Kisikiliza na kuongea
Sarufi kusoma Kuandika |
Fasihi simulizi
Mafumbo
Misimu
Kazi mradi
Uakifishaji Ukimwi Barua meme |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo kueleza umuhimu wa mafumbo kutoa mifano ya mafumbo kueleza maana ya misimu kutoa mifano ya misimu |
Malumbano
|
Kitabu
Tamthilia |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 177-179
|
|
8 | 1 |
Fasihi
Kusoma Kusikiliza na kuongea |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Shairi Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
8 | 2 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika Fasihi Kusoma |
Vitenzi
Mazingira fomu Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Ufahamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua myambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka Mfano Bakisha- bakishiwa- Kauli ya kutendesha na Kosesha- kosesheana Pimisha- pimishana Mifano katika sentensi Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
8 | 3 |
Sarufi
Kusikiliza na kuongea kuandika Fasihi |
Vitenzi
Methali Utungaji wa kisanii Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama Mafano Kwaa- kwama Tua- tuama Mifano kwa sentesni Pikipiki ilikuwama matopeni Kauli ya kutendata Mfano Fumba- fumbuta Kama- kamata Mifano kwa sentensi Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
8 | 4 |
Fasihi andishi
Kusoma Sarufi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Urithi Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
8 | 5 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika Fasihi Fasihi andishi |
Maghani
Matangazo Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua Maghani Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
|
|
8 | 6 |
Kusoma
Sarufi Kusikiliza na kuongea kuandika |
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Vitenzi Ngomezi Ripoti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
|
|
9 |
Mtihani wa kati ya muhula na likizo fupi |
|||||||
10 | 1 |
Fasihi
Fasihi andishi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
12-14 |
Mtihani wa mwisho wa muhula na kufunga shule |
Your Name Comes Here