Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1

Ufunguzi wa shule na kudurusu mtihani wa muhula tangulizi

2 1
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii; Sajili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
2 2
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Viulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maudhui ya ufahamu.
Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya Methali
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 3-7
2 3
Sarufi
Kusoma
Kusoma (fasihi)
Vivumishi vya Idadi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya idadi.Kutumia kivumishi kwenye mabano kukamilisha sentensi ipasavyo.
Kutunga sentensi kutumia vivumishi vya idadi.
Kueleza
Kuandika
Kujadiliana
Kuuliza maswali
Kazi ya vikundi
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 10-11
2 4
Kusoma
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Dhima ya Fasihi kwa jumla
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tahariri.
Kusoma tahariri aliyopewa kwa sauti, akidondoa mambo muhimu kisha kujadiliana kuhusu maoni ya mhariri.
Kutambua habari za Kitaifa na Kimataifa kwenye magazeti.
Maelezo
Ufafanuzi
Kujadili vidokezo
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
Nakala halisi ya barua rasmi
Kitabu cha Fasihi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 11-13
2 5
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Shairi: Mikanda Tujifungeni
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kutaja maudhui katika shairi.
Kueleza sifa bainifu za shairi huru.
Kujibu maswali yatokanayo na shairi huru kwa usahihi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Shairi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 20-21
2 6
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Sarufi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
‘A’ Unganifu
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 1
Sarufi
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Viashiria visisitizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya ‘O’ rejeshi.
Kutumia ‘O’ rejeshi katika sentensi.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 24-25
3 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 3
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri.
Kufafanua maudhui ya barua kwa mhariri.
Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 29-31
3 4
Sarufi
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Vivumishi kwa pekee
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya pekee.
Kufafanua matumizi ya vivumishi vya pekee.
Kubainisha matumizi ya vivumishi vya pekee.
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano
Uchunguzi
Uvumbuzi
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 33-38
3 5
Kusoma
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI
Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari
Maamkizi na Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya maswala ibuka.
Kusoma makala yanayohusu afya ya na Ukimwi.
Kujibu maswali yanahosu makala.
Usomaji
Maelezo
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 38-39
3 6
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Umoja wa Kitaifa
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza umuhimu wa usanifishaji.
Kusoma ufahamu, ‘Umoja wa Kitaifa’
Kufafanua mambo yanayosaidia kuleta umoja wa Kitaifa hapa nchini.
Usomaji
Maelezo
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 43-44
4 1
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Vielezi
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 2
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi Simulizi; Mazungumzo
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya isimujamii.
Kufafanua maana ya sajili katika lugha.
Kuigiza mazungumzo.
Kusoma
Kuigiza
Kujadili
Kusikiliza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 51-52
4 3
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Fasihi Simulizi; Ulumbi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 4
Sarufi
Kusoma
Kuandika
Viwakilishi (W)
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja aina za viwakilishi.
Kueleza na kubainisha aina za viwakilishi.
Kutumia viwakilishi katika sentensi kwa usahihi.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 56-60
4 5
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 6
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Kuandika
Isimujamii; Mahakamani
Mwingiliano wa Maneno
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani.
Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani.
Kusoma kifungu na kujibu maswali.
Kudodosa
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
Redio na vinasa sauti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 64-65
5 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma kifungu na kueleza.
Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu.
Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
5 2
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 3
Kusoma
Kuandika
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi.
Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake.
Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira.
Maelezo
Ufafanuzi.
Ufaraguzi.
Majadiliano.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
5 4
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Shairi Nyuki nimekoni?
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 5
Kusikiliza na kuongea
sarufi
Kusoma
Fasihi Simulizi
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-sifa za soga
Dhima ya soga
Kusoma riwaya
kusikiliza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93
5 6
kuandika
Fasihi
Ratiba
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya ratiba
-kuandika kwa makini
-kuandika insha nzuri ya maelezo
kuandika
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 uk 100-101
6 1
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
Dini ya ulimwengu
Visasili
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
6 2
sarufi
Kuandika
Uundaji wa nomino
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
-kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
-          Kusoma
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 108-110
6 3
Fasihi
Kusoma Marudio
2
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kukandamizwa
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Fasihi
Fasihi simulizi
Ushairi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
ngano
‘Fasihi simulizi’
Uk 112-114
6 5
Fasihi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kukandamizwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 6
2
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
sarufi
Fasihi simulizi
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai
Aina mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
7 1
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 2
kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
mchezo wa kuigiza
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
vishazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa kudadisi ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-     
Kusoma
Kukariri
Kitabu
Kamusi
kitabu cha mwanafunzi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 125
7 3
Kuandika
Fasihi andishi
wasifu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika wasifu
kutoa mifano
tawasifu na wasifukazi
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
7 4
Fasihi andishi
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
mhepa
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 5
sarufi
kuandika
Fasihi
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
7 6
Fasihi andishi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
mhepa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
8 1
Kusikiliza na kuongea
sarufi
kuandika
Miviga
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
8 2
Fasihi
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
8 3
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea
sarufi
Haki zetu binadamu
maigizo
aina za sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
Kutaja
kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
8 4
Kuandika
Fasihi simulizi
Fasihi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu
Kusoma
kuandika
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
8 5
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea
Haki zetu binadamu
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
Kutaja
kueleza
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
8 6
sarufi
Kuandika
Fasihi simulizi
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Mjadala
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 148-150
9

Mtihani wa kati ya muhula na likizo fupi

10 1
Fasihi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
usalama barabarani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
10 2
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
Kuandika
ushairi nyimbo
uchanganuzi wa sentensi
utungaji wa kiuamilifu tahadhari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kukariri mashairi
kuimba nyimno
kutambua dhima ya nyimbo
kutunga mifano wa wimbo
Kisikiliza na kushiriki
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157
10 3
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
10 4
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
kusoma
uzalendo
Hotuba
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali
kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
10 5
Kuandika
Fasihi
Kusoma
mahojiano na dayolojia
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kufupisha
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
10 6
Kisikiliza na kuongea
Sarufi
Hotuba
Nyakati na hali marudio
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Malumbano
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
11 1
kusoma
Kuandika
Fasihi
uzalendo
mahojiano na dayolojia
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kusoma
Kuchambua
Tamthilia
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
11 2
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
Uraibu
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
11 3
Sarufi
kusoma
Kuandika
Uakifishaji
Ukimwi
Barua meme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kutaja
Kueleza
kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
11 4
Fasihi
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Shairi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
11 5
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Vitenzi
Mazingira fomu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Mifano katika sentensi
Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera
Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
11 6
Fasihi
Fasihi andishi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
12 1
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
Vitenzi
Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama
Mafano
Kwaa- kwama
Tua- tuama
Mifano kwa sentesni
Pikipiki ilikuwama matopeni
Kauli ya kutendata
Mfano
Fumba- fumbuta
Kama- kamata
Mifano kwa sentensi
Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu
Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
12 2
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Utungaji wa kisanii
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 198-199
12 3
Kusoma
Sarufi
Urithi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
12 4
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Maghani
Matangazo
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua Maghani
Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
12 5
Fasihi andishi
Kusoma
Sarufi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
12 6
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Ngomezi
Ripoti
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua Ngomezi
Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207
13-14

Mtihani wa mwisho wa muhula na kufunga shule


Your Name Comes Here


Download

Feedback