If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 1-2 |
MAPISHI
Kusikiliza na Kuzungumza |
Matamshi Bora
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua silabi zinazotokana na sauti zinazokaribiana katika maneno: f/v, s/z, l/r na th/dh. - Kutamka silabi zinazotokana na sauti zinazokaribiana kimatamshi: f/v, s/z, l/r na th/dh ili kutofautisha matamshi yake. - Kutamka vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi: f/v, s/z, l/r na th/dh ili kuimarisha mawasiliano. Mwisho wa somo, - Kutamka vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi: f/v, s/z, l/r na th/dh ili kuimarisha mawasiliano. - Kuunda vitanzandimi vyenye maana kutokana na sauti zinazokaribiana kimatamshi: f/v, s/z, l/r na th/dh. - Kuchangamkia kukariri vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi: f/v, s/z, l/r na th/dh ili kuimarisha matamshi yake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua silabi za sauti lengwa kutokana na maneno kwenye vitabu, ubaoni au kwa kutumia vifaa vya kiteknolojia. - Kusikiliza silabi za sauti f/v, s/z, l/r/ na th/dh zikitamkwa na mwalimu, mgeni mwalikwa au kutoka kwa vifaa vya kiteknolojia (k.v. kinasasauti). - Kutamka silabi za sauti lengwa akiwa na wenzake. Mwanafunzi aelekezwe: - Kusikiliza vitanzandimi vinavyoundwa kutokana na maneno yenye sauti lengwa vikikaririwa. - Kuunda vitanzandimi vinavyotokana na sauti husika akiwa peke yake, wawiliwawili au katika vikundi. - Kuunda vitanzandimi kwenye vifaa vya kidijitali na kushirikiana na wenzake mitamboni kuvirekebisha. |
Je, unajua maneno gani yenye silabi zinazokanganya kimatamshi?
Je, unajua vitanzandimi gani vyenye silabi zinazokanganya kimatamshi? |
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 1
Picha Michoro Kadi maneno Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 2 Chati za vitanzandimi Kadi za silabi Vifaa vya kidijitali |
Kutambua silabi zinazotokana na sauti zinazokaribiana
Kutamka silabi na vitanzandimi kwa usahihi
Ushiriki katika kutamka vitanzandimi
Kutamka vitanzandimi kwa usahihi Kuunda vitanzandimi vyenye sauti lengwa Ushiriki katika shughuli za kikundi |
|
1 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumika katika kifungu ili kuimarisha ufahamu. - Kutumia msamiati lengwa kwa usahihi katika sentensi. - Kusoma kifungu cha hadithi kwa kuzingatia ujumbe, matukio na wahusika. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua msamiati wa suala lengwa (k.v. vyakula, viungo vya kupikia, njia za kupika na vifaa vya kupikia) kwa kutumia kadi za maneno, chati, mti maneno au kifaa cha kidijitali. - Kushiriki katika vikundi kujadili na kutumia msamiati wa suala lengwa katika sentensi. - Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa kwenye kitabu au kwenye tarakilishi akiwa peke yake, wawiliwawili au katika vikundi. |
Kusoma kuhusu mapishi kuna umuhimu gani?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 9
Chati za msamiati Kifungu cha hadithi kuhusu mapishi Vifaa vya kidijitali |
Kutambua msamiati wa mapishi
Kutumia msamiati katika sentensi
Kusoma kifungu cha hadithi
Kujibu maswali
|
|
1 | 4 |
Sarufi
|
Nomino za Pekee
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua nomino za pekee kwenye sentensi au vifungu vya maneno. - Kutunga sentensi kwa kutumia nomino za pekee ili kukuza matumizi ya lugha sahihi. - Kuchangamkia matumizi ya nomino za pekee katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua nomino za pekee (k.v. Kisumu, Mei, Rabuka, Alhamisi na Yohana) kwenye tarakilishi, kapu maneno, mti maneno, kadi maneno au chati. - Kutaja nomino za pekee akiwa na wenzake kama vile za majina ya mji, majina ya mito, majina ya watu na majina ya miezi. - Kutambua nomino za pekee katika sentensi kwenye vitabu, tarakilishi, chati kwa kuzipigia mstari au kukolezea rangi. |
Nomino za pekee zinahusu nini?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 16
Chati za nomino za pekee Kadi maneno Mti maneno Vifaa vya kidijitali |
Kutambua nomino za pekee
Kupigia mstari nomino za pekee katika sentensi
Kutaja aina za nomino za pekee
|
|
2 | 1-2 |
Sarufi
Kuandika |
Nomino za Pekee
Insha ya wasifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua nomino za pekee kwenye sentensi au vifungu vya maneno. - Kutunga sentensi kwa kutumia nomino za pekee ili kukuza matumizi ya lugha sahihi. - Kuchangamkia matumizi ya nomino za pekee katika mawasiliano. Mwisho wa somo, - Kutambua insha ya wasifu kwa kuzingatia mtindo na muundo wake. - Kuandika insha ya wasifu kwa ubunifu ili kujenga maelezo yenye kutoa picha dhahiri. - Kufurahia kutunga insha bora ili kuimarisha mazoea ya kuandika. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kujaza nafasi kwenye sentensi au kifungu kwa kutumia nomino za pekee. - Kutunga sentensi kwa kutumia nomino za pekee akiwa na wenzake. - Kuorodhesha nomino za pekee kulingana na aina zake. Mwanafunzi aelekezwe: - Kutambua insha ya wasifu kwa kurejelea vielelezo vya insha zilizoandikwa kwenye matini mbalimbali au tarakilishi. - Kusoma vielelezo vya insha ya wasifu vilivyoandikwa katika matini mbalimbali au tarakilishi. - Kushirikiana na wenzake kujadili mada na muundo wa insha ya wasifu. |
Ni nomino zipi za pekee unazozijua?
Insha ya wasifu inahusu nini? |
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 19
Chati za nomino za pekee Kadi maneno Orodha ya maswali ya zoezi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 13 Mifano ya insha za wasifu Chati ya muundo wa insha ya wasifu Vifaa vya kidijitali |
Kutumia nomino za pekee katika sentensi
Kujaza pengo kwa nomino za pekee
Kuorodhesha nomino za pekee kulingana na aina
Kutambua insha ya wasifu Kujadili muundo wa insha ya wasifu Kuandika vidokezo vya insha ya wasifu |
|
2 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Matamshi Bora
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutamka vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi: l/r na th/dh ili kuimarisha mawasiliano. - Kuunda vitanzandimi vyenye maana kutokana na sauti zinazokaribiana kimatamshi: l/r na th/dh. - Kuchangamkia kukariri vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi: l/r na th/dh ili kuimarisha matamshi yake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kukaririwa vitanzandimi vinavyotokana na sauti l/r na th/dh. - Kuunda vitanzandimi vinavyotokana na sauti husika akiwa peke yake, wawiliwawili au katika vikundi. - Kusakura mtandaoni ili kupata vitanzandimi zaidi vyenye sauti lengwa. |
Je, unajua vitanzandimi gani vyenye sauti l/r na th/dh?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 4
Chati za vitanzandimi Kadi za silabi Vifaa vya kidijitali |
Kutamka vitanzandimi kwa usahihi
Kuunda vitanzandimi vyenye sauti l/r na th/dh
Kukariri vitanzandimi
|
|
2 | 4 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Matamshi Bora
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutamka vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi: f/v, s/z, l/r na th/dh ili kuimarisha mawasiliano. - Kuunda vitanzandimi vyenye maana kutokana na sauti zinazokaribiana kimatamshi: f/v, s/z, l/r na th/dh. - Kuchangamkia kukariri vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti zinazokaribiana kimatamshi: f/v, s/z, l/r na th/dh ili kuimarisha matamshi yake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kukariri vitanzandimi vilivyoandaliwa na mwalimu au vilivyopatikana mtandaoni. - Kufanya mashindano ya kukariri vitanzandimi darasani. - Kuwakaririria wazazi au walezi wao vitanzandimi walivyojifunza ili wawape maoni. |
Kutamka vitanzandimi kwa usahihi kunasaidia kuboresha matamshi yako vipi?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 5
Orodha ya vitanzandimi Vifaa vya kidijitali |
Kukariri vitanzandimi kwa ufasaha
Kutamka sauti zinazokaribiana kwa usahihi
Kutofautisha sauti zinazokaribiana kimatamshi
|
|
3 | 1-2 |
Kusoma
Sarufi |
Kusoma kwa Ufahamu
Nomino za kawaida |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kuonyesha uelewa wa kifungu kwa kutoa muhtasari na kujibu maswali. - Kujenga mazoea ya usomaji bora katika maisha ya kila siku. Mwisho wa somo, - Kutambua nomino za kawaida kwenye sentensi au vifungu vya maneno. - Kutunga sentensi kwa kutumia nomino za kawaida ili kukuza matumizi sahihi ya lugha. - Kufurahia kutumia nomino za kawaida katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutoa muhtasari kuhusu kifungu alichosoma. - Kujibu maswali kutokana na kifungu alichosoma. - Kusoma vifungu mtandaoni kuhusu suala lengwa na kujadiliana na wenzake kuhusu ujumbe ulioyomo. Mwanafunzi aelekezwe: - Kutambua nomino za kawaida kwenye kadi au kapu la maneno (k.v.mtu, mtoto, darasa, ukuta, mwalimu, meza na kiti). - Kutaja akiwa na wenzake nomino za kawaida. - Kutambua nomino za kawaida katika sentensi kwa kuzipigia mistari au kuzikolezea rangi kwenye tarakilishi. |
Ni hadithi gani umewahi kuisoma kuhusu mapishi?
Je, ni vitu gani vinavyopatikana katika mazingira yako? |
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 11
Kifungu cha hadithi Maswali ya ufahamu Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 19 Kadi au kapu la maneno Chati zenye nomino za kawaida Vifaa vya kidijitali |
Kutoa muhtasari wa kifungu
Kujibu maswali ya ufahamu
Kujadili ujumbe wa kifungu
Kutambua nomino za kawaida Kupigia mstari nomino za kawaida katika sentensi Kutaja nomino za kawaida |
|
3 | 3 |
Sarufi
|
Nomino za kawaida
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua nomino za kawaida kwenye sentensi au vifungu vya maneno. - Kutunga sentensi kwa kutumia nomino za kawaida ili kukuza matumizi sahihi ya lugha. - Kufurahia kutumia nomino za kawaida katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua nomino za kawaida kwenye kadi au kapu la maneno (k.v.mtu, mtoto, darasa, ukuta, mwalimu, meza na kiti). - Kutaja akiwa na wenzake nomino za kawaida. - Kutambua nomino za kawaida katika sentensi kwa kuzipigia mistari au kuzikolezea rangi kwenye tarakilishi. |
Je, ni vitu gani vinavyopatikana katika mazingira yako?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 19
Kadi au kapu la maneno Chati zenye nomino za kawaida Vifaa vya kidijitali |
Kutambua nomino za kawaida
Kupigia mstari nomino za kawaida katika sentensi
Kutaja nomino za kawaida
|
|
3 | 4 |
Sarufi
|
Nomino za kawaida
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua nomino za kawaida kwenye sentensi au vifungu vya maneno. - Kutunga sentensi kwa kutumia nomino za kawaida ili kukuza matumizi sahihi ya lugha. - Kufurahia kutumia nomino za kawaida katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia nomino za kawaida kujaza nafasi kwenye sentensi. - Kutunga sentensi kwa kutumia nomino za kawaida akiwa peke yake wawiliwawili au kwenye vikundi. - Kuorodhesha nomino za kawaida zinazopatikana mazingira yao. |
Ni vitu gani vinavyotumiwa katika mapishi mbalimbali?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 21
Chati za nomino za kawaida Maswali ya zoezi Picha za vitu mbalimbali |
Kutunga sentensi kwa kutumia nomino za kawaida
Kujaza pengo kwa nomino za kawaida
Kuorodhesha nomino za kawaida katika mazingira
|
|
4 | 1-2 |
Kuandika
HUDUMA YA KWANZA Kusikiliza na Kuzungumza |
Insha ya wasifu
Maamkuzi na Maagano |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kuandika insha ya wasifu kwa ubunifu ili kujenga maelezo yenye kutoa picha dhahiri. - Kufurahia kutunga insha bora ili kuimarisha mazoea ya kuandika. Mwisho wa somo, - Kutambua aina mbalimbali za maamkuzi katika mawasiliano. - Kueleza maamkuzi yanayotumika katika miktadha mbalimbali ili kuyabainisha. - Kutumia aina mbalimbali za maamkuzi katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kukishirikiana na wenzake katika vikundi ili kubainisha na kujadili vidokezo vifaavyo vya mada lengwa. - Kuaandika insha ya wasifu isiyopungua maneno 150 inayohusu mada lengwa (k.v. Mpishi nimpendaye) kwa kuzingatia, anwani, mpangilio mzuri wa mawazo, hati safi, kanuni za kisarufi na kwa lugha ya kiubunifu. - Kuandika insha ya wasifu mtandaoni na kuisambaza kwa wenzake na mwalimu ili kuisoma na kuitathmini. Mwanafunzi aelekezwe: - Kutambua maamkuzi (k.v. shikamoo, Habari za utokako? Habari za adhuhuri? Habari za jioni?) kutoka kwenye chati, ubao au vifaa vya kidijitali, michoro na picha. - Kushiriki kujadiliana na mwenzake au katika vikundi maamkuzi yanayolengwa na matumizi yake. - Kuambatanisha maamkuzi na majibu sahihi. |
Unazingatia nini unapoandika insha ya wasifu?
Je, watu husalimiana vipi katika jamii? |
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 16
Mifano ya insha za wasifu Orodha hakiki ya sifa za insha ya wasifu Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 23 Picha zinazoonyesha watu wakiamkuana Chati za maamkuzi na majibu yake Vifaa vya kidijitali |
Kuandika insha ya wasifu
Kuzingatia muundo wa insha ya wasifu
Kusoma na kutathmini insha za wenzake
Kutambua aina za maamkuzi Kutumia maamkuzi ipasavyo Kuambatanisha maamkuzi na majibu yake |
|
4 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Kina
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua mpangilio wa maneno katika kamusi ili kupata maneno lengwa kwa urahisi. - Kutumia kamusi ipasavyo kutafuta maana za maneno asiyoyajua yaliyo katika matini teule ili kukuza msamiati wake. - Kuchangamkia kutumia kamusi katika kukuza msamiati wake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kupanga maneno aliyopewa kwenye chati, kapu maneno au mti maneno kialfabeti. - Kuchague neno kutoka kapu maneno au mti maneno ili kulitafuta kwenye kamusi. - Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno mbalimbali akiwa peke yake, wawiliwawili au katika vikundi. |
Maana ya maneno ya Kiswahili hupatikana wapi?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 29
Kamusi Kapu maneno Mti maneno Vifaa vya kidijitali |
Kupanga maneno kialfabeti
Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno
Kuandika maana za maneno kutoka kamusi
|
|
4 | 4 |
Sarufi
|
Nomino za Wingi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua nomino za wingi katika matini ili kuzibainisha. - Kutumia nomino za wingi katika sentensi ili kuimarisha mawasiliano. - Kufurahia kutumia nomino za wingi katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua nomino za wingi (k.m chumvi, sukari, maji, uji, mafuta na manukato) kutoka kwenye kapu la maneno, chati, vitabu na vifaa vya kidijitali akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi. - Kutambua nomino za wingi kwa kuzipigia mistari au kuzikolezea rangi kwenye matini. - Kutumia nomino za wingi kujaza nafasi kwenye sentensi. |
Unajua majina gani yanayohusu vitu vinavyopatikana katika wingi tu?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 34
Chati za nomino za wingi Kadi maneno Picha za vitu mbalimbali Vifaa vya kidijitali |
Kutambua nomino za wingi
Kupigia mstari nomino za wingi katika sentensi
Kujaza pengo kwa nomino za wingi
|
|
5 | 1-2 |
Sarufi
Kuandika |
Nomino za Wingi
Insha ya masimulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua nomino za wingi katika matini ili kuzibainisha. - Kutumia nomino za wingi katika sentensi ili kuimarisha mawasiliano. - Kufurahia kutumia nomino za wingi katika mawasiliano. Mwisho wa somo, - Kutambua insha ya masimulizi kwa kuzingatia ujumbe, mtindo na muundo. - Kuandika insha ya masimulizi kwa kufuata kanuni zifaazo. - Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya masimulizi ili kukuza ubunifu wake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia nomino za wingi katika sentensi kwa kufanya mazoezi daftarini. - Kutunga sentensi kwa kutumia nomino za wingi akiwa peke yake au akishirikiana na wenzake. - Kuorodhesha nomino za wingi zinazopatikana katika mazingira yake. Mwanafunzi aelekezwe: - Kutambua insha ya masimulizi kwa kurejelea vielelezo vya insha zilizoandikwa kwenye matini mbalimbali au tarakilishi. - Kushiriki na wenzake kujadili mada ya insha na muundo wa insha ya masimulizi. - Kuandika insha isiyopungua maneno 150 inayosimulia kisa cha tukio linalohusiana na huduma ya kwanza kwa kuzingatia anwani, mpangilio mzuri wa mawazo, hati safi, tahajia, kanuni za kisarufi, uakifishaji mwafaka na kwa lugha ya kiubunifu. |
Ni vitu gani vinavyopatikana katika wingi tu katika mazingira yako?
Je, unazingatia nini ili kuandika insha nzuri ya masimulizi? |
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 37
Chati za nomino za wingi Kadi maneno Picha za vitu mbalimbali Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 32 Mifano ya insha za masimulizi Chati ya muundo wa insha ya masimulizi Vifaa vya kidijitali |
Kutunga sentensi zenye nomino za wingi
Kuorodhesha nomino za wingi
Kutofautisha nomino za wingi na nomino za kawaida
Kutambua muundo wa insha ya masimulizi Kujadili mada ya insha ya masimulizi Kuandika insha ya masimulizi |
|
5 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Maamkuzi na Maagano
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua aina mbalimbali za maagano katika mawasiliano. - Kueleza maagano yanayotumika katika miktadha mbalimbali ili kuyabainisha. - Kutumia aina mbalimbali za maagano katika mawasiliano. - Kuchangamkia maamkuzi na maagano katika mahusiano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua maagano (k.v lala salama, safari njema, alamsiki) kutoka kwenye chati, ubao au vifaa vya kidijitali, michoro na picha. - Kushirikiana na wenzake kuigiza maamkuzi na maagano lengwa. - Kutazama watu wakiamkuana na kuagana katika vifaa vya kidijitali. |
Je, watu huagana vipi katika jamii?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 25
Picha zinazoonyesha watu wakiagana Chati za maagano na majibu yake Vifaa vya kidijitali |
Kutambua aina za maagano
Kutumia maagano ipasavyo
Kuambatanisha maagano na majibu yake
|
|
5 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Kina
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua mpangilio wa maneno katika kamusi ili kupata maneno lengwa kwa urahisi. - Kutumia kamusi ipasavyo kutafuta maana za maneno asiyoyajua yaliyo katika matini teule ili kukuza msamiati wake. - Kuchangamkia kutumia kamusi katika kukuza msamiati wake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno mbalimbali akiwa peke yake, wawiliwawili au katika vikundi. - Kutumia mtandao kutafuta maana za maneno. - Kutunga sentensi kwa kutumia maneno aliyotafuta kwenye kamusi. |
Je, unafanya nini unapokutana na neno gumu katika kifungu?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 31
Kamusi Vifaa vya kidijitali Maswali ya zoezi |
Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno
Kutunga sentensi kwa kutumia maneno mapya
Kutumia mtandao kutafuta maana za maneno
|
|
6 |
midterm |
||||||||
7 | 1-2 |
Sarufi
|
Vitenzi-jina
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua nomino za vitenzi-jina kwenye kifungu cha maneno au kwenye sentensi. - Kutunga sentensi au vifungu vya maneno akitumia nomino za vitenzi-jina ili kukuza matumizi bora ya lugha. - Kufurahia kutumia nomino za vitenzi-jina katika utungaji wa sentensi na kujaza nafasi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua vitenzi-jina kutoka kwenye kapu la maneno, vyombo vya kijiditali (k.v. kusoma, kucheka, kula, kulia na kuandika). - Kutambua vitenzi-jina akiwa na wenzake kwa kuvipigia mistari au kuzikolezea rangi kwenye matini n.k. - Kutumia nomino za vitenzi-jina kwa kujaza nafasi kwenye sentensi. Mwanafunzi aelekezwe: - Kutunga sentensi au vifungu vya maneno kwa kutumia nomino za vitenzi-jina akiwa peke yake, wawiliwawili au katika vikundi. - Kuorodhesha vitenzi-jina mbalimbali vilivyotokana na vitendo vya kila siku. - Kutofautisha vitenzi-jina na vitenzi vikuu. |
Ni mambo gani wewe hufanya ukiwa nyumbani?
Unapenda kufanya mambo gani darasani? |
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 37
Chati za vitenzi-jina Kadi maneno Picha zinazoonyesha vitendo Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 39 Chati za vitenzi-jina Maswali ya zoezi Vifaa vya kidijitali |
Kutambua vitenzi-jina
Kupigia mstari vitenzi-jina katika sentensi
Kujaza pengo kwa vitenzi-jina
Kutunga sentensi zenye vitenzi-jina Kuorodhesha vitenzi-jina Kutofautisha vitenzi-jina na vitenzi vikuu |
|
7 | 3 |
Kuandika
|
Insha ya masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kuandika insha ya masimulizi kwa kufuata kanuni zifaazo. - Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya masimulizi ili kukuza ubunifu wake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuandika insha ya masimulizi mtandaoni na kuisambaza kwa wenzake na mwalimu ili kuisoma na kuitathmini. - Kusomea wenzake insha aliyoandika ili kuitathmini. - Kurekebisha insha yake kulingana na maoni ya wenzake. |
Je, unazingatia nini ili insha yako ya masimulizi iwe ya kuvutia?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 34
Orodha hakiki ya insha ya masimulizi Vifaa vya kidijitali |
Kuandika insha ya masimulizi
Kusoma na kutathmini insha za wenzake
Kurekebisha insha kulingana na maoni
|
|
7 | 4 |
MAPAMBO
Kusikiliza na Kuzungumza |
Matamshi Bora
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua vitendawili vya suala lengwa. - Kutega na kutegua vitendawili ili kujenga matamshi bora. - Kuchangamkia matumizi ya vitendawili kama njia ya kujenga utamkaji bora wa maneno. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua vitendawili vya mapambo katika chati, ubao au vifaa vya kidijitali (k.m Wafaa lakini wavaliwa bila matumizi maalum (Mtandio), Ananitazama, hasemi hasikii (Picha), Lapendeza rangi lakini halidumu (Ua). Dhahabu yangu ya thamani haisimami (Mkufu). - Kushiriki katika kutega na kutegua vitendawili. - Kusikiliza vitendawili vikitegwa na kuteguliwa kupitia vyombo vya kidijitali. |
Je, ni vitendawili gani unavyovijua?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 40
Chati za vitendawili Kadi za vitendawili Vifaa vya kidijitali |
Kutega na kutegua vitendawili
Kutambua vitendawili vya mapambo
Kutunga vitendawili vipya
|
|
8 | 1-2 |
Kusoma
Sarufi |
Kusoma kwa Ufasaha
Nomino za Makundi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua msamiati wa mapambo uliotumiwa katika kifungu. - Kuelezea maana za msamiati mbalimbali wa mapambo. - Kusoma kifungu cha hadithi ili kupata ujumbe. Mwisho wa somo, - Kutambua nomino za makundi katika sentensi ili kuzibainisha. - Kueleza nomino za makundi ili kuzitofautisha na nomino zingine. - Kutumia nomino za makundi kwa usahihi katika sentensi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua msamiati wa mapambo (k.v vipuli, pete, bangili na ushanga) kwa kutazama picha na vifaa halisi. - Kutumia tarakilishi kutafuta msamiati wa mapambo na maana yake mtandaoni. - Kueleza mapambo na sehemu yanapovaliwa. Mwanafunzi aelekezwe: - Kutambua nomino za makundi (k. v mlolongo wa magari, tita la kuni, mkungu wa ndizi, safu ya siafu, koja la maua, bunda la noti) katika chati, kadi maneno, ubao, vifaa vya kidijitali n.k. - Kujadili katika kikundi au wawiliwawili maana ya nomino za makundi huko akitoa mifano. - Kutumia nomino za makundi katika sentensi na kuziandika daftarini mwake. |
Kwa nini ni muhimu kusoma kifungu kwa ufasaha?
Je, unajua maneno gani yanayotaja makundi ya watu na vitu? |
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 43
Picha za mapambo Vifaa vya kidijitali Kamusi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 47 Chati za nomino za makundi Kadi maneno Picha zinazoonyesha makundi ya vitu |
Kutambua msamiati wa mapambo
Kueleza maana za msamiati wa mapambo
Kusoma kifungu kwa ufasaha
Kutambua nomino za makundi Kueleza maana ya nomino za makundi Kutunga sentensi zenye nomino za makundi |
|
8 | 3 |
Sarufi
|
Nomino za Makundi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua nomino za makundi katika sentensi ili kuzibainisha. - Kutumia nomino za makundi kwa usahihi katika sentensi. - Kuonea fahari matumizi ya nomino za makundi katika miktadha mbalimbali. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia nomino za makundi kutunga sentensi mtandaoni akiwa na wenzake. - Kujaza nafasi kwenye sentensi kwa kutumia nomino za makundi. - Kuorodhesha nomino za makundi zinazopatikana katika mazingira. |
Je, nomino za makundi hutumiwa vipi?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 50
Maswali ya zoezi Picha zinazoonyesha makundi ya vitu Vifaa vya kidijitali |
Kutunga sentensi zenye nomino za makundi
Kujaza pengo kwa nomino za makundi
Kuorodhesha nomino za makundi
|
|
8 | 4 |
Sarufi
|
Nomino Ambata
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua nomino ambata katika matini ili kuzitofautisha na aina nyingine za nomino. - Kutumia nomino ambata kwa usahihi katika sentensi ili kuimarisha mawasiliano. - Kuonea fahari matumizi ya nomino ambata katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua nomino ambata (k.v askarikanzu, mbwamwitu, mwanasiasa na mwananchi) kwa kutumia kadi maneno, kapu maneno, chati au vifaa vya kidijitali akiwa peke yake, wawiliwawili au katika kikundi. - Kujadili katika kikundi au wawiliwawili maana ya nomino ambata huko akitoa mifano. - Kutumia nomino ambata katika sentensi na kuziandika katika daftari lake. |
Je, unajua maneno yapi yanayounganishwa kuunda neno moja?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 50
Chati za nomino ambata Kadi maneno Vifaa vya kidijitali |
Kutambua nomino ambata
Kueleza maana ya nomino ambata
Kutunga sentensi zenye nomino ambata
|
|
9 | 1-2 |
Sarufi
|
Nomino Ambata
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua nomino ambata katika matini ili kuzitofautisha na aina nyingine za nomino. - Kutumia nomino ambata kwa usahihi katika sentensi ili kuimarisha mawasiliano. - Kuonea fahari matumizi ya nomino ambata katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia nomino ambata kutunga sentensi mtandaoni akishirikiana na wenzake. - Kusakura mtandaoni ili kupata mifano zaidi ya nomino ambata na kuziandika katika daftari lake. - Kujaza nafasi kwenye sentensi kwa kutumia nomino ambata. |
Ni mifano gani ya nomino ambata unayojua?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 52
Maswali ya zoezi Vifaa vya kidijitali |
Kutunga sentensi zenye nomino ambata
Kusakura mtandaoni mifano ya nomino ambata
Kujaza pengo kwa nomino ambata
|
|
9 | 3 |
Sarufi
|
Nomino za dhahania
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua nomino za dhahania katika matini mbalimbali. - Kuelezea nomino za dhahania kwa kutoa mifano mwafaka. - Kutumia nomino za dhahania kwa usahihi katika sentensi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua nomino za dhahania (k.v upendo, uhodari, ukweli) kwa kutumia kadi maneno, mti maneno, chati au vifaa vya kidijitali. - Kujadili katika kikundi au wawiliwawili maana ya nomino za dhahania huko akitoa mifano. - Kutumia nomino za dhahania katika sentensi na kuziandika sentensi hizo daftarini mwake. |
Je, unajua maneno yapi yanayotaja vitu ambavyo haviwezi kushikwa au kuonekana kwa macho?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 52
Chati za nomino za dhahania Kadi maneno Mti maneno |
Kutambua nomino za dhahania
Kueleza maana ya nomino za dhahania
Kutunga sentensi zenye nomino za dhahania
|
|
9 | 4 |
Kuandika
|
Kuandika kwa Tarakilishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua sehemu mbalimbali za tarakilishi zinazotumika kupigia chapa. - Kutumia tarakilishi ili kujenga maarifa ya kidijitali. - Kujenga mazoea ya kutumia tarakilishi kuandika na kuhifadhi maandishi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua sehemu mbalimbali za tarakilishi za kupigia chapa. (k.v. bodidota, kipanya na kiwambo/ mulishi). - Kutumia tarakilishi kuandika maneno au sentensi zinazolenga msamiati wa mapambo (k.v. herini, vipuli, pete, kipini, bangili, shanga, taji, kugesi na hina). - Kutumia tarakilishi kuandika kifungu kinachohusisha mapambo mbalimbali. |
Je, ni sehemu zipi za tarakilishi unazojua?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 46
Tarakilishi Picha za sehemu za tarakilishi Chati ya sehemu za tarakilishi |
Kutambua sehemu za tarakilishi
Kuandika maneno na sentensi kwa kutumia tarakilishi
Kuhifadhi maandishi kwenye faili ya tarakilishi
|
|
10 | 1-2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma |
Matamshi Bora
Kusoma kwa Ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutega na kutegua vitendawili ili kujenga matamshi bora. - Kuchangamkia matumizi ya vitendawili kama njia ya kujenga utamkaji bora wa maneno. Mwisho wa somo, - Kusoma kifungu cha hadithi ili kupata ujumbe. - Kuonyesha uelewa wa hadithi kwa kutoa muhtasari na kujibu maswali. - Kuonea fahari kusoma hadithi kuhusu mapambo na kujibu maswali. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushiriki katika mashindano ya kutega na kutegua vitendawili darasani. - Kubuni vitendawili vyao wenyewe kuhusu mapambo. - Kusikiliza vitendawili kwenye kifaa cha kidijitali na kuvitegua. Mwanafunzi aelekezwe: - Kusoma maneno yasiyopungua(80) katika hadithi kwa dakika moja kwa usahihi. - Kutoa muhtasari wa hadithi aliyoisoma. - Kujibu maswali kutokana na hadithi. |
Kutega na kutegua vitendawili kuna umuhimu gani?
Je, unazingatia nini unaposoma kifungu kwa ufasaha? |
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 42
Orodha ya vitendawili Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 45 Kifungu cha hadithi Saa ya kupimia muda Maswali ya ufahamu |
Kutega na kutegua vitendawili
Kubuni vitendawili vipya
Ushiriki katika mashindano ya vitendawili
Kusoma maneno 80 kwa dakika moja Kutoa muhtasari wa hadithi Kujibu maswali kuhusu hadithi |
|
10 | 3 |
Sarufi
|
Nomino za dhahania
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua nomino za dhahania katika matini mbalimbali. - Kutumia nomino za dhahania kwa usahihi katika sentensi. - Kuonea fahari matumizi ya nomino za dhahania katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia nomino za dhahania kutunga sentensi mtandaoni akishirikiana na wenzake. - Kujaza nafasi kwenye sentensi kwa kutumia nomino za dhahania. - Kuorodhesha nomino za dhahania zinazoelezea hisia na tabia za binadamu. |
Ni nomino zipi za dhahania unazozitumia katika mawasiliano ya kila siku?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 54
Maswali ya zoezi Vifaa vya kidijitali |
Kutunga sentensi zenye nomino za dhahania
Kujaza pengo kwa nomino za dhahania
Kuorodhesha nomino za dhahania
|
|
10 | 4 |
Sarufi
|
Nomino za dhahania
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua nomino za dhahania katika matini mbalimbali. - Kutumia nomino za dhahania kwa usahihi katika sentensi. - Kuonea fahari matumizi ya nomino za dhahania katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia nomino za dhahania kutunga sentensi mtandaoni akishirikiana na wenzake. - Kujaza nafasi kwenye sentensi kwa kutumia nomino za dhahania. - Kuorodhesha nomino za dhahania zinazoelezea hisia na tabia za binadamu. |
Ni nomino zipi za dhahania unazozitumia katika mawasiliano ya kila siku?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 54
Maswali ya zoezi Vifaa vya kidijitali |
Kutunga sentensi zenye nomino za dhahania
Kujaza pengo kwa nomino za dhahania
Kuorodhesha nomino za dhahania
|
|
11 | 1-2 |
Sarufi
|
Uakifishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua herufi kubwa, alama ya koma, kikomo na kiulizi katika maandishi. - Kutumia herufi kubwa, koma, kikomo na kiulizi ifaavyo katika maaandishi. - Kufurahia matumizi ya herufi kubwa, koma, kikomo na kiulizi katika maandishi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua herufi kubwa katika maandishi. - Kushiriki katika vikundi kuakifisha sentensi akitumia herufi kubwa (baadhi ya sentensi ziangazie suala lengwa). - Kuandika sentensi akitumia herufi kubwa ifaavyo. |
Kwa nini alama za kuakifisha hutumiwa katika maandishi?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 55
Chati za matumizi ya herufi kubwa Vifaa vya kidijitali |
Kutambua herufi kubwa katika matini
Kuakifisha sentensi kwa kutumia herufi kubwa
Kuandika sentensi zenye herufi kubwa
|
|
11 | 3 |
Sarufi
|
Uakifishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua herufi kubwa, alama ya koma, kikomo na kiulizi katika maandishi. - Kutumia herufi kubwa, koma, kikomo na kiulizi ifaavyo katika maaandishi. - Kufurahia matumizi ya herufi kubwa, koma, kikomo na kiulizi katika maandishi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua alama ya koma katika maandishi. - Kushiriki katika vikundi kuakifisha sentensi akitumia koma (baadhi ya sentensi ziangazie suala lengwa). - Kuandika sentensi akitumia koma ifaavyo. |
Kwa nini tunahitaji alama ya koma katika maandishi?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 57
Chati za matumizi ya koma Vifaa vya kidijitali |
Kutambua alama ya koma katika matini
Kuakifisha sentensi kwa kutumia koma
Kuandika sentensi zenye koma
|
|
11 | 4 |
Sarufi
|
Uakifishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua herufi kubwa, alama ya koma, kikomo na kiulizi katika maandishi. - Kutumia herufi kubwa, koma, kikomo na kiulizi ifaavyo katika maaandishi. - Kufurahia matumizi ya herufi kubwa, koma, kikomo na kiulizi katika maandishi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua alama ya koma katika maandishi. - Kushiriki katika vikundi kuakifisha sentensi akitumia koma (baadhi ya sentensi ziangazie suala lengwa). - Kuandika sentensi akitumia koma ifaavyo. |
Kwa nini tunahitaji alama ya koma katika maandishi?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 57
Chati za matumizi ya koma Vifaa vya kidijitali |
Kutambua alama ya koma katika matini
Kuakifisha sentensi kwa kutumia koma
Kuandika sentensi zenye koma
|
|
12 | 1-2 |
Sarufi
|
Uakifishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua herufi kubwa, alama ya koma, kikomo na kiulizi katika maandishi. - Kutumia herufi kubwa, koma, kikomo na kiulizi ifaavyo katika maaandishi. - Kufurahia matumizi ya herufi kubwa, koma, kikomo na kiulizi katika maandishi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua kikomo katika maandishi. - Kushiriki katika vikundi kuakifisha sentensi akitumia kikomo (baadhi ya sentensi ziangazie suala lengwa). - Kuandika sentensi akitumia kikomo ifaavyo. Mwanafunzi aelekezwe: - Kutambua kiulizi katika maandishi. - Kushiriki katika vikundi kuakifisha sentensi akitumia kiulizi (baadhi ya sentensi ziangazie suala lengwa). - Kuandika sentensi akitumia kiulizi ifaavyo. - Kuandika sentensi zenye herufi kubwa, koma, kikomo na kiulizi akitumia kifaa cha kidijitali. |
Ni wakati gani tunatumia kikomo katika maandishi?
Unatumia alama ya kiulizi wakati gani? |
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 59
Chati za matumizi ya kikomo Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 61 Chati za matumizi ya kiulizi Vifaa vya kidijitali |
Kutambua kikomo katika matini
Kuakifisha sentensi kwa kutumia kikomo
Kuandika sentensi zenye kikomo
Kutambua kiulizi katika matini Kuakifisha sentensi kwa kutumia kiulizi Kuandika sentensi zenye kiulizi |
|
12 | 3 |
Sarufi
|
Uakifishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutambua herufi kubwa, alama ya koma, kikomo na kiulizi katika maandishi. - Kutumia herufi kubwa, koma, kikomo na kiulizi ifaavyo katika maaandishi. - Kufurahia matumizi ya herufi kubwa, koma, kikomo na kiulizi katika maandishi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua kiulizi katika maandishi. - Kushiriki katika vikundi kuakifisha sentensi akitumia kiulizi (baadhi ya sentensi ziangazie suala lengwa). - Kuandika sentensi akitumia kiulizi ifaavyo. - Kuandika sentensi zenye herufi kubwa, koma, kikomo na kiulizi akitumia kifaa cha kidijitali. |
Unatumia alama ya kiulizi wakati gani?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 61
Chati za matumizi ya kiulizi Vifaa vya kidijitali |
Kutambua kiulizi katika matini
Kuakifisha sentensi kwa kutumia kiulizi
Kuandika sentensi zenye kiulizi
|
|
12 | 4 |
Kuandika
|
Kuandika kwa Tarakilishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa somo, - Kutumia tarakilishi ili kujenga maarifa ya kidijitali. - Kujenga mazoea ya kutumia tarakilishi kuandika na kuhifadhi maandishi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuhifadhi kazi yake kwenye faili ya tarakilishi mara kwa mara. - Kuhariri kazi yake kwenye tarakilishi akishirikiana na wenzake katika kikundi. - Kutuma kazi yake kwa mwalimu ili kuitathmini. |
Tarakilishi hutuwezesha kufanya kazi gani?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 5 uk. 47
Tarakilishi Picha za sehemu za tarakilishi |
Kuhariri kazi kwenye tarakilishi
Kuhifadhi kazi kwenye faili
Kutuma kazi kwa mwalimu
|
Your Name Comes Here